Viongozi wa team ya soka ya DC Nyarugusu kushoto Hussein Choteka Amba na kulia ni Jabir Jongo kocha mchezaji wakiwa makao makuu ya team wakiandaa jezi na vifaa vyote vya wachezaji mapema leo tayari kwa mechi dhidi ya Cameroon itakayopigwa leo saa 7:30 pm katika uwanja wao wa nyumbani Ager Road Hyattsville, MD.
No comments:
Post a Comment